Ujasiri wa Tito
Tito alijua kwamba hii ndio nafasi ya pekee aliyokuwa nayo ya kujinasua ... Alijua kuwa ujasiri wake tu ndio ungemwokoa … Tito alikabiliwa na hatari kubwa. Hatari hii ilitishia kumpoteza ... Read More
Tito alijua kwamba hii ndio nafasi ya pekee aliyokuwa nayo ya kujinasua ... Alijua kuwa ujasiri wake tu ndio ungemwokoa …
Tito alikabiliwa na hatari kubwa. Hatari hii ilitishia kumpoteza kwao milele. Hatari hii ingemtenganisha na wazaziwe na nduguye, Jesi, daima.Tito aliogopa haya.Aliogopa sana. Ndiyo maana aliamua kujijasiri. Alijua kuwa ujasiri huu huenda ungemletea adhabu kali, lak ...
Read Less  
Full Description