
Mlemavu? Si Mimi
KES290.00
Godfrey Ipalei, kama mhusika mkuu, anajiandikia tawasifu yake kuwatangazia walimwengu kuwa mtu yeyote anaweza kuyafikia malengo yake na kutimiza ndoto zake maishani licha ya changamoto za ... Read More
Godfrey Ipalei, kama mhusika mkuu, anajiandikia tawasifu yake kuwatangazia walimwengu kuwa mtu yeyote anaweza kuyafikia malengo yake na kutimiza ndoto zake maishani licha ya changamoto za kimaumbile. Anasisitiza kuwa ulemavu ni wa fikira na mielekeo hasi. Msomaji anatiwa moyo kutambua na kurutubisha kipawa alichonacho.
...
Read Less  
Full Description