Swahili Readers: 2d – Mgeni njoo!

ISBN: 9780195734539Author: Ahmed Hussein

KES 215.00

‘Mgeni njoo!’ ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Kwanza katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni:

  • Masimulizi rahisi kwa njia ya hadithi.
  • Kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, tanakali za sauti, kichekesho na picha za rangi zenye kusisimua.
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya maisha ya nyumbani, malezi, utoto, afya, stadi za maisha, uwajibikaji, kazi, utu, uvumilivu, uadilifu, haki za watoto na kuishi kwa utangamano.

Mradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada ambao unaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Buy from Nuria Kenya

Buy from Text Book Centre

Description

‘Mgeni njoo!’ ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Kwanza katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni:

  • Masimulizi rahisi kwa njia ya hadithi.
  • Kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, tanakali za sauti, kichekesho na picha za rangi zenye kusisimua.
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya maisha ya nyumbani, malezi, utoto, afya, stadi za maisha, uwajibikaji, kazi, utu, uvumilivu, uadilifu, haki za watoto na kuishi kwa utangamano.

Mradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada ambao unaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Swahili Readers: 2d – Mgeni njoo!”

Your email address will not be published. Required fields are marked *