Swahili Readers: 8f – Falme Tisa

ISBN: 9780195739329Author: Geoffrey Mung'ou

KES 310.00

Ufalme Mkuu unatawaliwa na Mfalme Sultan!. Aidha zipo falme nyingine tisa zinazoongozwa na mfalme yuyo huyo. Hata hivyo, kuna fununu kuhusu njama za mapinduzi dhidi yake. Juu ya yote, twaamini kuwa ipo siku ambapo Mfalme atatutoa juani atupeleke kivulini Falme Tisa ni mojawapo ya hadithi katika Mradi wa Kusoma. Huu ni mradi wa vitabu vya ziada ambavyo vinaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Buy from Nuria Kenya

Buy from Text Book Centre

Description

Ufalme Mkuu unatawaliwa na Mfalme Sultan!. Aidha zipo falme nyingine tisa zinazoongozwa na mfalme yuyo huyo. Hata hivyo, kuna fununu kuhusu njama za mapinduzi dhidi yake. Juu ya yote, twaamini kuwa ipo siku ambapo Mfalme atatutoa juani atupeleke kivulini Falme Tisa ni mojawapo ya hadithi katika Mradi wa Kusoma. Huu ni mradi wa vitabu vya ziada ambavyo vinaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Swahili Readers: 8f – Falme Tisa”

Your email address will not be published. Required fields are marked *