Kiswahili Fasaha Kidato cha 2 Kitabu cha Mwalimu
Kiswahili Fasaha, Mwongozo wa Mwalimu, Kidato cha 2 limeboreshwa ili kumpa mwalimu mwongozo wa kuimarisha maarifa yake ya kufundisha Kiswahili katika shule za sekondari. Mwongozo huu unaa ... Read More
Kiswahili Fasaha, Mwongozo wa Mwalimu, Kidato cha 2 limeboreshwa ili kumpa mwalimu mwongozo wa kuimarisha maarifa yake ya kufundisha Kiswahili katika shule za sekondari. Mwongozo huu unaambatana na Kiswahili Fasaha, Kitabu cha Mwanafunzi, Kidato cha 2
Kitabu hiki kitamwongoza mwalimu kwa kumdokezea jinsi ya kufundisha mada zote katika silabasi kwa kuzingatia mbinu zilizotafitiwa na k ...
Read Less  
Full Description