Description
Soma Nasi ni msusuru wa hadithi zilizoandikwa kwa kuzingatia mada mbalimbali. Hadithi hizi zitawawezesha wanafunzi wenye uwezo tofautitofauti kuimarisha stadi za lugha walizojifunza darasani. Wanafunzi watafurahia kuzisoma hadithi hizi kwa lengo la kujiburudisha na pia kufanya mazoezi ya stadi za lugha.
Ajali Kwenye Matope ni hadithi inayoangazia hali ya anga. Beni na Fela wanafunga safari ya kwenda kwa mjomba wao. Wakiwa njiani, wanapata ajali kwenye matope. Je, wanaendelea na safari ya kwenda kwa mjomba au wanafanya nini?




Reviews
There are no reviews yet.