Zawadi ya Tamara -2c

ISBN: 9789914446180Author: Pauline Kea

KES 235.00

Soma Nasi ni msusuru wa hadithi zilizoandikwa kwa kuzingatia mada mbalimbali. Hadithi hizi zitawawezesha wanafunzi wenye uwezo tofautitofauti kuimarisha stadi za lugha walizojifunza darasani. Wanafunzi watafurahia kuzisoma hadithi hizi kwa lengo la kujiburudisha na pia kufanya mazoezi ya stadi za lugha.

Zawadi ya Tamara ni hadithi inayoangazia msamiati unaohusu shuleni. Siku ya kuzaliwa ya Tamara inapofika akiwa shuleni, wanafunzi wenzake na mwalimu wake wa darasa wanampa zawadi. Je, wanampa zawadi gani?

Buy from Nuria Kenya

Buy from Text Book Centre

Description

Soma Nasi ni msusuru wa hadithi zilizoandikwa kwa kuzingatia mada mbalimbali. Hadithi hizi zitawawezesha wanafunzi wenye uwezo tofautitofauti kuimarisha stadi za lugha walizojifunza darasani. Wanafunzi watafurahia kuzisoma hadithi hizi kwa lengo la kujiburudisha na pia kufanya mazoezi ya stadi za lugha.

Zawadi ya Tamara ni hadithi inayoangazia msamiati unaohusu shuleni. Siku ya kuzaliwa ya Tamara inapofika akiwa shuleni, wanafunzi wenzake na mwalimu wake wa darasa wanampa zawadi. Je, wanampa zawadi gani?

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Zawadi ya Tamara -2c”

Your email address will not be published. Required fields are marked *