Musa

ISBN: 9780195738063Author: Barbara Kimenye

KES 460.00

Musa Kibaya anatimuliwa kutoka shule yake ya sita. Anahisi kwamba hii ni rekodi katika umri wake wa miaka kumi na mitano pekee, ingawa kwa namna fulani anaionea fahari. Hofu yake tu ni jinsi Mjomba wake, Silasi, atakavyolichukulia suala hili…

Silasi anapogundua kutimuliwa kwake, anampeleka Musa katika shule yake ya saba, Mukibi’s Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Kumbe, hapo ndipo vituko vya Musa vinapoanza.
‘Musa’ ni kitabu cha kwanza katika msururu wa Visa na Vituko vya Musa, vilivyoandikwa na Barbara Kimenye.

Buy from Nuria Kenya

Buy from Text Book Centre

Description

Musa Kibaya anatimuliwa kutoka shule yake ya sita. Anahisi kwamba hii ni rekodi katika umri wake wa miaka kumi na mitano pekee, ingawa kwa namna fulani anaionea fahari. Hofu yake tu ni jinsi Mjomba wake, Silasi, atakavyolichukulia suala hili…

Silasi anapogundua kutimuliwa kwake, anampeleka Musa katika shule yake ya saba, Mukibi’s Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Kumbe, hapo ndipo vituko vya Musa vinapoanza.
‘Musa’ ni kitabu cha kwanza katika msururu wa Visa na Vituko vya Musa, vilivyoandikwa na Barbara Kimenye.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Musa”

Your email address will not be published. Required fields are marked *