Mashaka

ISBN: 9780195739275Author: Bwanaheri A Salim

KES 340.00

Nini ambacho Kiburi hakubarikiwa nacho; mali, ulimbwende au umaarufu? Lakini, vyote hivi havikutosha kumpa raha aliyoisaka maishani. Kwa upande mwingine, Mashaka anakumbana na mashaka kwa sababu ya kiburi cha Kiburi. Sio kwamba Kiburi hakumpenda Mashaka. La, hasha! Alimpenda sana na alikuwa tayari kumwaga mali yake yote, mradi tu ampate. Basi, binadamu huhitaji nini ili kufurahia ukamilifu wa maisha? Hili ndilo swali ambalo mwandishi anauliza katika kisa hiki cha kuburudisha na kuelimisha.

Buy from Nuria Kenya

Buy from Text Book Centre

Description

Nini ambacho Kiburi hakubarikiwa nacho; mali, ulimbwende au umaarufu? Lakini, vyote hivi havikutosha kumpa raha aliyoisaka maishani. Kwa upande mwingine, Mashaka anakumbana na mashaka kwa sababu ya kiburi cha Kiburi. Sio kwamba Kiburi hakumpenda Mashaka. La, hasha! Alimpenda sana na alikuwa tayari kumwaga mali yake yote, mradi tu ampate. Basi, binadamu huhitaji nini ili kufurahia ukamilifu wa maisha? Hili ndilo swali ambalo mwandishi anauliza katika kisa hiki cha kuburudisha na kuelimisha.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Mashaka”

Your email address will not be published. Required fields are marked *